Shule za wavulana zaongoza matokeo ya kidato cha 6

Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi kupitia Baraza la mitihani Tanzania (NECTA) imetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka huu wa 2016.
SAM_1365
Katibu Mtendaji wa Necta, Charles Msondena amesema kuwa shule za wavulana ndizo zimeonekana kufanya vizuri kwenye kumi bora.Aidha Msondena ameongeza kuwa ufaulu umeshuka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na mwaka 2015 ambapo ufaulu ulikuwa 98.87.
Shule 10 zilizofanya vizuri kwenye matokeo hayo ni pamoja na Kisimiri (Arusha), Feza Boys (Dar es Salaam), Alliance Girls (Mwanza), Feza Girls (Dar es Salaam), Marian Boys (Pwani), Tabora Boys (Tabora), Kibaha (Pwani), Mzumbe (Morogoro), Ilboru (Arusha) na Tandahimba (Mtwara).
1.( Form Six ) ==> BOFYA  HAPA  KUYAANGALIA>>
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment