Mtangazji wa kipindi cha Take One cha Clouds Tv amefunguka na kusema hajutii kitendo kitendo cha yeye kumhoji shoga kwenye television na kusababisha 'outrage' kutoka kwa wadau mbalimbali mtandaoni na hadharani
Anasema kipindi hicho ndio kiliwafungua watu na kujua kuwa kumbe kuna tatizo kama hili linaendelea Tanzania na serikali ikaanza kufumbua macho na kuanza kutoa matamko
Blogger Comment