Vyombo vya HABARI Vitakavyo Ripoti Mikutano, Maandamano na HABARI za Kichochezi Vitachukuliwa Hatua-Nape

Waziri Nape Nnauye amesema Waandishi na Vyombo vya Habari vitakavyoripoti mikutano, maandamano au habari za kichochezi vitachukuliwa hatua ikiwemo kufungiwa kwa kueneza uchochezi.

Amesema Vyombo vya Habari havipaswi kuripoti habari za kuichonganisha Serikali na wananchi wake.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment