Msukuma: Sijawahi Kuwa Rafiki wa Edward Lowassa

Akizungumza asubuhi hii kupitia star tv,Joseph Kasheku (msukuma )amesema hajawahi kuwa rafiki wa Lowassa na alichokuwa anakifanya mwaka jana ni umamluki kama wanavyofanya askari kwenye vita.

Amesema wazi kuwa alitumwa kumpeleleza Lowassa kipindi hicho.Pia amesema hajawahi kuchukua hata senti moja ya Lowassa,na kama kuna mtu anajua alichukua hela ya Lowassa aseme na yupo tayari kuzirudisha.

My take: Kabla ya mtu kuwa na rafiki au sponser mchunguze vya kutosha.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment