Mtoto wa Aliyekuwa Kiongozi wa Al-Qaeda, Osama bin Laden, Hamza Bin Laden Aapa Kulipiza Kisasi


Mtoto wa aliyekuwa kiongozi wa Al-Qaeda, Osama bin Laden, Hamza bin Laden ameapa kulipiza kisasi kwa Marekani kwa kumuua baba yake.

Ameapa kuliendeleza kundi hilo, amesema wako kwenye mpango wa kutekeleza shambulizi lingine linalofanana na lile la Septemba 11, 2001
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment