Mshambuliaji Marekani alipanga makubwa

 
Mkuu wa polisi katika mji wa Dallas amesema wamepata ushahidi kuwa Micah Johnson alifanya majaribio ya kulipuwa vilipuzi.
Kabla ya kuuawa Ijumaa asubuhi, Johnson aliwaambia polisi amekasirishwa na matukio ya hivi karibuni ya mauaji dhidi ya watu weusi yanayofanywa na polisi.
Maafisa watano wa polisi waliuawa katika shambulio hilo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment