Mkuu wa polisi katika mji wa Dallas amesema wamepata ushahidi kuwa Micah Johnson alifanya majaribio ya kulipuwa vilipuzi.
Kabla
ya kuuawa Ijumaa asubuhi, Johnson aliwaambia polisi amekasirishwa na
matukio ya hivi karibuni ya mauaji dhidi ya watu weusi yanayofanywa na
polisi.Maafisa watano wa polisi waliuawa katika shambulio hilo.
Blogger Comment