Hatimaye Geryson Msigwa Athibitshwa Kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli amemthibitisha Geryson Msigwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu. Kabla Geryson Msigwa alikuwa akikaimu cheo hicho.
Aidha Mh. Rais amemteu Jerry Muro aliyekuwa msemaji wa Timu ya Mpira wa Miguu Yanga kuwa msaidizi wake.

Hongereni Kurugenzi ya Habari Ikulu kwa nafasi hizo
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment