Tundu Lissu Asema:Awamu ya Kikwete tulipambana na rushwa,ufisadi na utawala wa sheria...SASA TUMEPATA KITU KINGINE KABISA.soma kisha msikilize hapa.


Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) Tundu Lissu amesema wakati wa utawala wa awamu ya nne ya utawala wa Kikwete walikuwa wanapambana na rushwa,ufisadi,utawala wa sheria,,misingi ya haki na katiba mpya.Lakini sasa tumepata kitu kipya kwamba mtu mmoja neno lake la mdomoni ndiyo sheria.
Aliongeza kuwa huyu raisi wa sasa hivi ambaye ni mrithi wa Kikwete anataka kuturudisha nyuma miaka hamsini iliyopita wakati wa utawala wa chama kimoja na wakati wa marehemu Sokoine.
Aliongeza kuwa mikutano ya hadhara itakayofanyika kuanzia tarehe moja mwezi wa tisa itafanyika kwa mujibu wa sheria na wataomba vibali masaa arobaini na nane kabla ya mikutano hiyo.MSIKILIZE HAPA CHINI.....

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment