Baada ya kubaini mapungufu hayo Mkuu wa wilaya Ally Hapi amemuagiza mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni kuwavua madaraka wakuu wa shule za msingi 68, pamoja na kumuandikia barua Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwavua vyeo wakuu wa shule za sekondari 22 baada ya kubaini kuna wanafunzi hewa zaidi ya 5000 katika shule za msingi na sekondari katika manispaa hiyo………..
>>>’Wamefanya udanganyifu kwa maslahi yao binafsi kufuatia hilo mkurugenzi wa manispaa atawavua madaraka wakuu wa shule za msingi waliofanya udanganyifu’:-Ally Hapi
>>>’Serikali kila mwezi inapoteza Bilioni 18.8 kwa ajili ya kugharamia elimu bure hivyo udanganyifu uliofanywa ni ukosefu wa maadili na uzalendo’:-Ally Hapi
Blogger Comment