WEMA Sepetu Aingiza Bidhaa Nyingine Sokoni..

Kupitia Instagram yake Wema Sepetu ametangaza rasmi ujio wa bidhaa yake nyingine ambayo hii ni ya mguuni na iko simple kwa namna hiyo.

Kaandika
‘Mara nyingi napenda sana viatu vya chini na vya asilia… nikajionea kwanini nisitengeneze cha aina hiyo?jipatieWema sepetu flops kwa shilingi 12000 kwa jumla na 15000 rejareja, toa oda yako sasa na tutakizindua rasmi tar 29 ambapo mwenyewe ntakuuzia…#UsikuWaWazaramu Loading….. namba ya kupiga kwa ajili ya kuplace order yako ni 0655066565…. vipo design nyiiiingi na rangi nyingi mnoooo’
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment